MwanzoJPY / AUD • Sarafu
JPY / AUD
0.0101
27 Sep, 15:21:00 UTC · Kanusho
Viwango vya Ubadilishaji Sarafu
Bei iliyotangulia
0.0100
Yen ni pesa nchini Japani. Alama yake ya kimataifa ni ¥ lakini Japani penyewe huandikwa 円. Yen imekuwa pesa inayotumiwa sana duniani baada ya dolar na euro. Pesa hii ilianzishwa mwaka 1871 na serikali ya Meiji ikifuata mifano ya pesa za Ulaya. Mwanzoni ililinganishwa na gramu 1.5 za dhahabu. Thamani ya pesa ilishuka wakati wa Vita Kuu ya Pili ya Dunia na baada ya vita kiwango chake kwa dollar ya Marekani kiliweka kwa ¥360 kwa US$1. Mwaka 2008 ilikuwa ¥104 kwa US$1. Tangu kuimarika kwa uchumi wa Japani Yen imekuwa pesa muhimu duniani. Kuna noti za Yen 1,000, 2,000, 5,000 na 10,000. Wikipedia
Tafuta
Futa utafutaji
Funga kisanduku cha kutafutia
Programu za Google
Menyu kuu